
Bayoyo Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2019
Lyrics
Bayoyo - Abdukiba
...
Habibty, habibty, wauba wangu wa ubani eh
Raha za ndani wewe umefunzwa na nani eh?
Mtoto mashaallah, mtoto ma habuba
Mtoto Bilal, Islat, Naifat woyo oh oh
Yako majina yanantatiza bwana
Kila kukicha afadhali lile la jana
Habibty oh-oh, habibty wewe
Wangu mimi kwako wewe kudunda dunda kwako
Kudunda dunda nami
Habibty mashaallah, umezaliwa Tanga kisiwani
Napenda zile dimpose, napenda zile njozi zako za usiku
Aah aah
Baby, bilinge bayoyo bilinge bwa
Bilinge bayoyo bilinge bwa
Baby, bilinge bayoyo bilinge bwa
Cheza na mimi bilinge bwa, bilinge bwa, bilinge bwa
Baby, bilinge bayoyo bilinge bwa
Bilinge bayoyo bilinge bwa
Baby, bilinge bayoyo bilinge bwa
Cheza na mimi bilinge bwa, bilinge bwa, bilinge bwa
Nafuraha tele kuwa na wewe
Siwezi kukukata kwenye maisha, furaha yangu
Nyota yangu, kizimwe changu, nyumba yangu
Habibty wee, iih
Ni wengi wenye mapenzi
Nishasemwa sana juu yako kwa vile mi unanienzi
Mapenzi real real real, na kukuacha mimi siwezi
Hiyo ni ndoto ya mapenzi, kwangu wa pekee
Napenda zile dimpose, napenda zile njozi zako za usiku
Nafuraha tele kuwa na wewe
Siwezi kukukata kwenye maisha, furaha yangu
Nyota yangu, kizimwe changu, nyumba yangu
Habibty wee, iih
Ni wengi wenye mapenzi
Nishasemwa sana juu yako kwa vile mi unanienzi
Mapenzi real real real, na kukuacha mimi siwezi
Hiyo ni ndoto ya mapenzi, kwangu wa pekee
Napenda zile dimpose, napenda zile njozi zako za usiku
Baby, bilinge bayoyo bilinge bwa
Bilinge bayoyo bilinge bwa
Baby, bilinge bayoyo bilinge bwa
Cheza na mimi bilinge bwa, bilinge bwa, bilinge bwa
Aah aah
Aah aahayoyo-lyrics.html
Alekufunza habibty mahaba tusije saliti
Mungu wa raha na dhiki mahabaha bibty bilinge yo
Alekufunza Habibty mahaba tusije saliti
Mungu wa raha na dhiki habibty bilingeba
Habibty yoyo oh oh oh
Habibty
Vinn Melody