![Utaitawa Mbarikiwa](https://source.boomplaymusic.com/group1/M0C/6E/EB/rBEehl2a7GqAdzC9AACV4wdYwj0369.jpg)
Utaitawa Mbarikiwa Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2017
Lyrics
Utaitawa Mbarikiwa - Rose Muhando
...
lyric sync by Phellow 254790511905
halelluya
Amen
****verse1*****
umebarikiwa wewe mama ah
kuliko wanawake wote duniani iih
umebarikiwa wewe mama ah
kuliko wanawake wote duniani iih
tangu sasa utachukua mimba
utamzaa mwana wa kiume
tangu sasa utachukua mimba ah
utamzaa mwana wa kiume
malaika akasema
usihofu ewe Bikira Mariamu
tangu sasa utaitwa mbarikiwa
usihofu ewe bikira Mariamu
tangu sasa utaitwa mbarikiwa na vizazi vyote
usihofu ewe Bikira Mariamu
tangu sasa utaitwa mbarikiwa (usiogope)
usihofu ewe bikira Mariamu
tangu sasa utaitwa mbarikiwa na vizazi vyote
*****verse2*****
kufika Bethlehemu saa ikatimia
Bikira Mariamu akamzaa mwana ah
kufika Bethlehemu saa ikatimia
Bikira Mariamu akamzaa mwana
aligonga
aligonga katika nyumba ya wageni
akaambiwa hakuna nafasi mama
aligonga katika nyumba ya wageni
akaambiwa hakuna nafasi mama alihangaika
********verse3*****
akapiga kelele
Ee Mungu uko wapi
akapiga kelele
Ee Mungu uko wapi
alisononeka Mariamu
nitajihifadhi wapi mimi ?
akajisogeza Mariamu
horini mwa ng'ombe akamzaa mwana
aligonga
aligonga katika nyumba ya wageni
akaambiwa hakuna nafasi mama
aligonga katika nyumba ya wageni
akaambiwa hakuna nafasi
mama alihangaika
******verse4*****
hata mamajusi walipata habari
walileta uvumba manemane
dhahabu na fedha walileta aaah
walileta uvumba manemane
dhahabu na fedha walileta
aligonga
aligonga katika nyumba ya wageni
akaambiwa hakuna nafasi mama
aligonga katika nyumba ya wageni
akaambiwa hakuna nafasi
mama alihangaika
*******bridge*****
Halelluya Yesu eeeh Hallelujah Yesu
oooh Hallelujah Yesu eeeeh Hallelujah Yesu
utuokoe-eeeeeeh mama-woooooh
halelluya Yesu eeeh halelluya Yesu
oooh Hallelujah Yesu eh Hallelujah Yesu
utuokoe
(alikuja kuwaokoa wanadamu na dhambi zao baba ah)
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
amekuja kuwasaidia wale wote walioonewa
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
amekuja kuwakomboa wale wote waliofungwa
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
amekuja kuwapatanisha hata ndoa zilizovunjika
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
alikuja kuwasaidia hata matasa wasioshika mimba
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
amekuja kuwafariji hata yatima wanaoonewa
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
amekuja kuwaganga waliovunjika mioyo baba
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
amekuja kuleta amani kati ya Wapalestina na Isiraeli
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
amekuja kuleta amani kati ya Wahutu na Watusi baba
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
amekuja kunikomboa mimi na dhambi zangu
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
anakuja kuwakomboa wale wote waliosahauliwa
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
Wagakuru simameni semeni
masona Maria
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
amekuja kuwakomboa waru wote na dhambi zao
halelluya Yesu oh halelluya Yesu
eh Hallelujah Yesu oh Hallelujah Yesu
utuokoe
lyric sync by Phellow 254790511905