
Mimi Ni Wa Juu Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2019
This song is not currently available in your region.
Try the alternative versions below.
Alternative versions:
Lyrics
Mimi Ni Wa Juu - Nandy
...
Juu
Juu
Juu
Juu sana
Kuna wakati wa giza
Mbele sioni najiuliza
Mbona kama hizi shida
Zimekawia kuisha
mmh
Katikati ya maswali
Nasikia sauti ndani
Imebeba ujasiri ooh
Ikinitaka nikiri nikisema
Mimi ni wa juu, mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu, juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu, juu sana
aaaaah aah aah aaah
eiyeee eiyeeeeh
oohoooh
Sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye Mungu
Haijalishi ni giza, Yeye ni nuru yangu
Nitashinda hii vita na yote yatapita
Ntasimama tena, ntainuka tena
Mimi ni wa juu tu, mimi ni wa juu tu
Ntasimama tena, ntainuka tena
Mimi ni wa juu tu, mimi ni wajuu tu
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Juu sana
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
Sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye Mungu