![Jah Jah ft. Alikiba](https://source.boomplaymusic.com/group10/M00/07/25/ab1367fb79204363a0e9c73c4ce812e7_464_464.jpg)
Jah Jah ft. Alikiba Lyrics
- Genre:Afropop
- Year of Release:2023
Lyrics
JAH JAH SONG LYRICS
VERSE (1) TOMMY FLAVOUR
Oh baba x2
Naomba niongoze
Ohh jah jah x2
Ntakufata nisipote ehh ..
HOOK
Kwenye Mabalaa umenipitisha ahh
Kwenye shida na njaa umenilisha ahh
Wakitaka niende Chini Wanipandisha.., Mapenzi yako siwezi Kufananisha….
CHORUS
Bora Nikushukuru uhh
Uuuuh Uuuuh Uuuh!!!
Acha nikushukuru
Uuuuh Uuuuh Uuuh (x2)
VERSE (2) ALIKIBA
Oluwa ohh jah jah
Wanijua kiundan ukinilinda maishan yeah
Sikulipi chochote sifati yako yote
Ila bado ujaniacha Uko na mimi
HOOK
Kwenye Mabalaa umenipitisha ahh
Kwenye shida na njaa umenilisha ahh
Wakitaka niende Chini Wanipandisha.., Mapenzi yako siwezi Kufananisha….
CHORUS
Bora Nikushukuru uhh
Uuuuh Uuuuh Uuuh!!!
Acha nikushukuru
Uuuuh Uuuuh Uuuh (x2)
Ooooh Jah Jah Jah Aaaah
Jah Jah Jah Jah Jah
Acha nikushukuru
Uuuuh Uuuuh Uuuh
Acha nikushukuru
Uuuuh Uuuuh Uuuh
Acha nikushukuru
Uuuuh Uuuuh Uuuh Yeeh
Acha nikushukuru
Uuuuh Uuuuh Uuuh Yeeh
Acha nikushukuru
Uuuuh Uuuuh Uuuh Yeeh
THE END!