![Wa Mungu Uwazi](https://source.boomplaymusic.com/group2/M0C/AE/5E/rBEeNF2a6taAJCL0AACBWteSy_k432.jpg)
Wa Mungu Uwazi Lyrics
- Genre:World Music/Folklore
- Year of Release:2017
Lyrics
Wa Mungu Uwazi - East African Melody
...
mja hufiki popote ni bure chako kiburi dunia ni yetu sote
jua wabaya si woote wapo wataonisitir rixiki hutoi wewe mja usitahayari..
ukinisusia wewe sishtukii moyoo wanguu×2
nitapata mwenginewe atojali shida zangu×2masama mimi na wewe sio kududio langu ukinibagua wewe hanitupi mola wangu×2
kana wewe ni mbaya nao
wema wako tele×2
jua mlango wa mungu u waz kaufunguaaa km rixiki ni yangu huwezii kuiondoa×2ufanyeje mlimwengu usiyekuwa na hayaaa utamaliza mizungu la mungu kulipangua×2
madhali ni haii sina waswas na rizk yaangi kwa mola i halii najua sikosii nna langu funguu×2taji hinivui hili nishapaqsu dijipe uchunguuuu choyooo hakifai na chuki bnafs ewe mlimwenguuu×2
ukiifunga wa kwaaako mlangoo jua wa mungu uuwazii×2ooooooh laaaalaaaaaalaaaa
umekaza uzii kunichonganishaa kwa mashogaa zanguu nalijua wazi linokukondesha ni bahat yangu unajipa kazii hutoiondoshaa kuddura ya muunguu hayo huyawez wajihangaisha na wache maajumgu sote wa kukadiriwa na munguyu hatujitoshii kwa kituu.
atowai nikaar kwa matamu na machungu×2usijipe ujabar kuvaa joho la mungu×2 haufai ujeur ewe kiumbe mwrnzanhu tuendako ni shubiri mwana tani letu fungu joho la mwenyez mungu mja likuvae wapii.
jua mlango wa mungu u wazi kaufungua,km riziki ni yangu huwrz kuionfia,ufabyaje mlimwengu usiyekuwq na haya utamalza mizungu la mola hutopangua
mlango wa mung uko waznapata mimi jeur ya nn wewe unezd nn wewee kibur chako ni bureee