Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2021

This song is not currently available in your region.

Try the alternative versions below.

Lyrics

Sister - Dizasta Vina

...

mawazo yamezidi kwenye ndonga

nawaza sana na sasa imebidi tu kubonga

mwanafasihi kwenye fasihi na hoja

kuhusu sister angu mother mmoja dingi mmoja

kwa wazazi tulizaliwa wawili

dingi alikufa mother alitulea kwa maadili

nyuma ya mimi na sister Kuna siri

siri ambayo hata moyo umeshindwa kuikabiri

tangu watoto mpka sasa tumekua

mambo mengi ya huu ulimwengu tumejua

sister hakuna mwanaume aliyemtambua zaidi yangu

na akisha Nikosa anaugua

sister Akitaka chochote angepata

sister nikienda popote angefata

sister kwenye Maradhi na kwenye afya

tulifuatana mithili ya vifaranga vya bata

mbele ya mama ye ni sister kamili

anaanza vituko pale mother akisha safiri

ety ananitaka kudate na sister batili

ananiambia mi ni simba naweza winda kwa siri

sister..... sister kadata......

aaah alianza kunivalia nguo fupi

gafla akaanza kutimba geto na chupi

hajui brother ye anakata mpka nuksi

ananiita mpenzi siku aliyoniita kaka sikumbuki

ye dear ama baby macho kalegeza

midomo ananibinulia kindezi

namuambia sister hizo njia mi siwezi

napata hisia ila sio hisia za mapenzi

he sister kadata sister ana moli

sister anataka nimuite shori

mother am sorry maana mi ndo chanzo kilicho fanya sister akatae kusoma boarding

hapo mwanzo m niliona tu ni utoto

alipodai ananiota kwenye ndoto

alishawahi kunipa pesa kama hongo

nimkubali Kisha twende mbali nikale mchongo

huu utamaduni tunaujua tangu zama

kuwa kutembea na ndugu yako kama laana

tukienda party tunaishia kugombana

sister hapendi kuona nacheza na Wasichana sister

sister kadaaata ......... sister anakata nimuite shori....

sister angekuwa dawa sihitaji dozi heee..

Maan anashori wangu of course

hakomi kuleta pozi za kichokozi anapenda kweli maan nishampiga sana makofi

juzi Kati nilileta Wana watanashati

labda moja wao watapendana

hakudata na freestyle hakudata na hela hakudata na ndinga wala swagaa za masela

mzee.. nikahisi labda pepo

hadi nikawishi labda dingi angekuwepo

Kuna siku alinibusu mbele ya mama

mama akajua sisi ni ndugu tunapendana

niwe mkweli sister mashalaah kaumbika

najua wengi wanapagawa akipita

ila kuwaza kuwa nipige au nibwage ni upumbumbavu

yaani sister mi ni kaka yake

ujumbe natuma analaamu sikuhizi simpendi

ipo siku atakunywa sumu

dizasta kwenye moja na mbili sister angu ananitaka

nadata nakupa hoja jadili

sister.... sister kadata .... sister ana moli.......

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234
          -You can log in via below methods-
          Reset password via e-mail
          -or-
          Reset password via e-mail
          If you have any questions, please feedback on Boomplay App or send an email to [email protected].

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status