
Pepo ft. Exray Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2020
Lyrics
Pepo ft. Exray - Masauti
...
Genge la Bundoksi
Mmmmm
Taniua, Masauti
001, Kenyan Boy
Magix Enga on the Beat
Aah Niruhusu mi nikuite mummy
Ni yako mi sitaki ya nanii
God one mi nitasaka money
Ju ni nyuki mi nitachovya honey
Niko na feeling naeza fade
Jicho nyanya zinaweza raru ukinifail
Naughty girl tuende basi msitiri
Ijumaa ikifika sitableki mi nitaparty girl
Ama tuende msikitini
Leo niko kwa Ng’ang’a
Kesho kwa mganga uyo
Leo nitapagawa
Kweli nimepata huyo
Leo nitastagger
Kesi Maraga huyo
Umenishikisha pepo
Mapepo kwa penzi lako
Umenishikisha pepo
Mapepo kwa penzi lako
Umenishikisha pepo
Mapepo kwa penzi lako
Umenishikisha pepo
Mapepo kwa penzi lako
Umenishikisha pepo
Kila nikilala nakuota tu kwa ndoto
Akili ishakuwa mental
Nitakaye muona namuita jina lako
Kukupata we sitojutia
Wangu malikia mola mi kanijalia
Rhumba kizomba nitakuiimbia
Cheza ukinikumbatia wangu maridhia
Umenishikisha pepo
Mapepo kwa penzi lako
Umenishikisha pepo
Mapepo kwa penzi lako
Umenishikisha pepo
Mapepo kwa penzi lako
Umenishikisha pepo
Mapepo kwa penzi lako
Umenishikisha pepo
Mapepo kwa penzi lako
Umenishikisha pepo
Mapepo kwa penzi lako
Waka waka, waka
Kwenye kiza mama, waka
Kata kata, kata
Uwaonyeshe mama, kata
Daka daka, daka
Ka goalkeeper mama, daka
Waka waka, waka
Kwenye kiza mama, waka
Waka waka, waka, waka
We waka
Waka waka, waka waka
We waka
Daka daka, daka, daka
We daka
Waka waka, waka, waka
We waka