![WAGENI](https://source.boomplaymusic.com/group10/M00/05/21/49597577a90e4ca4902977252b80b65c_464_464.jpg)
WAGENI Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2022
Lyrics
WAGENI - Paul Clement
...

Home GENERAL WAGENI LYRICS – PAUL CLEMENT
GENERAL
WAGENI LYRICS – PAUL CLEMENT
written by LouisPublished: May 16, 2020Last Updated on May 25, 2021

WAGENI LYRICS BY PAUL CLEMENT
Katika maisha yangu
Nilipokea wageni
Nikawakaribisha kwangu
Wakafanya vitu vingi
Hawakuwa wa kudumu
Walikuwa wapitaji
Ila moyo wa ukarimu
Ukanisababishia machozi
Mgeni wa kwanza
Alikuwa ni UCHUNGU
Akaniumiza akanipa maumivu
Alipomalizaa, akaenda zake
Mgeni wa pili
Alikuwa ni HUZUNI
Huyu nae
Akanikosesha furaha
Mgeni wa tatu
Alikuwa ni MAGONJWA
Akanidhoofisha, akataka kuniua
Hakufanikiwa, akaenda zake

Home GENERAL WAGENI LYRICS – PAUL CLEMENT
GENERAL
WAGENI LYRICS – PAUL CLEMENT
written by LouisPublished: May 16, 2020Last Updated on May 25, 2021

WAGENI LYRICS BY PAUL CLEMENT
Katika maisha yangu
Nilipokea wageni
Nikawakaribisha kwangu
Wakafanya vitu vingi
Hawakuwa wa kudumu
Walikuwa wapitaji
Ila moyo wa ukarimu
Ukanisababishia machozi
Mgeni wa kwanza
Alikuwa ni UCHUNGU
Akaniumiza akanipa maumivu
Alipomalizaa, akaenda zake
Mgeni wa pili
Alikuwa ni HUZUNI
Huyu nae
Akanikosesha furaha
Mgeni wa tatu
Alikuwa ni MAGONJWA
Akanidhoofisha, akataka kuniua
Hakufanikiwa, akaenda zake
You Might Be Interested In
ABSA Bank Kenya Branches and Codes
Abel Mutua Biography and Background Information
How to Start a Profitable Daycare in Kenya
Pengting Lyrics – Timmy Tdat
Timiza loan. How to register, download app, apply loan
Zash Loan App Download, Registration, Apply loan, repay loan
Aliyefuata
Alininyima watoto
Jina lake TASA
Naye alipita
Mgeni mmoja
Jina lake ni MAUTI
Akamchukuwa Mtimi
Akaniachia jeraha
Mgeni mwingine
Jina lake HOFU
Hakutaka nifanikiwe
Akanipa fikra potovu
Nikajiona siwezi
Tena nitafeli
Huyo naye alipita
Hawa ni wageni
Tena wapitaji
Hawatadumuu
Watapitaa
Hawa ni wageni
Tena wapitaji
Hawatadumuu
Watapitaa
Hakuna jambo
Lolote ngumu
Litakalo dumu
Kwenye maisha yako
Ila yote yatapita
Na yakishapita
Hayatarudi tena
Tough times never last
But tough people do
Mapito sio mambo magumu
Unayopitia kwenye maisha yako
Ila mapito ni mambo magumu
Yanayopita kwenye maisha yako
Ndio maana tuyaita mapito
Kwa kuwa yanapita tu
Na yanapita kwenye maisha yako
Na yakishapita hayawezi kurudi tena
Magonjwa
Hawa ni wageni
Tena wapitaji
Hawatadumu, watapita
Uchungu
Hawa ni wageni
Tena wapitaji
Hawatadumu, watapita
Mateso
Hawa ni wageni
Tena wapitaji
Hawatadumu, watapita
Hawa ni wageni
Tena wapitaji
Hawatadumu, watapita