Ebeneza Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2021
Lyrics
Ebeneza - Paul Clement
...
Ebeneza - Paul Clement
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza
Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza
Ebeneza
Hata sasa weweee...
Hatasasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza
Ebeneza
Hatasasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza
Ebeneza
Si hitaji hatua tano
ndipo niseme,
Hatua hii moja na sema ni wewe,
Si kwa ujanja wangu
Si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako
Nimefika hapa
Kwa makubwa ni wewe
Ni weweee
Kwa madogo ni wewe
Ni weweee
Si kwa ujanja wangu
Si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako nimefika hapa
Hatasasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza
Ebeneza
Hatasasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza
Ebeneza
Kwa makubwa ni wewe
Ni weweee
Umefanyaa
Kwa madogo ni wewe
Ni weweee
Si kwa ujanja wangu
Si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako
Nimefika hapa
Kwa makubwa ni wewe
Ni weweee
Kwa madogo ni wewe
Ni weweee
Si kwa ujanja wangu
Si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako
Nimefika hapa.
Hatasasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza
Ebeneza
Hatasasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza
Ebeneza
Kwa makubwa ni wewe
Ni weweee
Umefanyaaa
Kwa madogo ni wewe
Ni weweee
Si kwa ujanja wangu
Si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako
Nimefika hapa
Kwa makubwa ni wewe
Ni weweee
Umefanyaaa
Kwa madogo ni wewe
Ni weweee
Si kwa ujanja wangu
Si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako
Nimefika hapa
Kwa makubwa ni wewe
Ni weweee
Umefanyaaa
Kwa madogo ni wewe
Ni weweee
Si kwa ujanja wangu
Si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako
Nimefika hapa
Hatasasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza
Ebeneza
Hatasasa wewe ni Ebeneza
Tulipofika wewe ni Ebeneza
Hata sasa wewe ni Ebeneza
Ebeneza
Ebeneza
Muziki...
Muziki...
Kwa makubwa ni wewe
Ni weweee
Umefanyaaa
Kwa madogo ni wewe
Ni weweee
Si kwa ujanja wangu
Si kwa ujuzi wangu
Ni kwa nguvu zako
Nimefika hapa
Mwisho...
Imeandikwa
Na Nicktary