![Nampenda](https://source.boomplaymusic.com/group10/M00/09/24/f1349bf853f14554b8baf2bddc248be2.jpg)
Nampenda Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2021
Lyrics
Nampenda - Macvoice
...
(Next Level Music)
(Nusder)
Njia tambarare
Nimesahau mabonde milima ya kale
Oooh oh, haupo kama wale
Mi na wewe mapacha sare sare
Ooh oh oh
Kasuku uuh, ndege wangu
Muchuchu oh tamu yangu
Kasuku uuh, ndege wangu
Muchuchu oh tamu yangu
Nimepata kamwali, oh mama
Toka Zanzibari, oh mama
Kanilambisha asali, oh mama
Asali toka Zenji
Ua Zuchu nipe sukari, oh mama
Tukizima kibatari, oh mama
Kama Mbosso mi hodari, oh mama
Hodari wa mapenzi
Nampenda! Ana kasura ka upole
Na macho kusinzia
Nampenda! Kafunzwa mkole
Sichoki kumsifia
Nampenda! Yelele yelele
Jamani anavutia
Nampenda! Pete kidole
Ndo anachosubiria
Tusigombane lakini aaah
Helo wakute wenga, usinikute na mimi
Nimekupenda niamini
Tuumizane moyo, tutesane kwanini?
Aah aah ah ah
Yamewatesa wengi
Wengine washajinyonga kisa mapenzi
Ooh usiniache mpenzi
Nisije kunywa sumu kisa mapenzi
Nimepata kamwali, oh mama
Toka Zanzibari, oh mama
Kanilambisha asali, oh mama
Asali toka Zenji
Ua Zuchu nipe sukari, oh mama
Tukizima kibatari, oh mama
Kama Mbosso mi hodari, oh mama
Hodari wa mapenzi
Nampenda! Ana kasura ka upole
Na macho kusinzia
Nampenda! Kafunzwa mkole
Sichoki kumsifia
Nampenda! Yelele yelele
Jamani anavutia
Nampenda! Pete kidole
Ndo anachosubiria
Hata waseme sura mbaya, kinawahusu nini?
Nampenda! Hata wamwite malaya, kinawawasha nini?
Nampenda! Maneno neno kibao sitaki
Nampenda! Hata muweke vikao simwacho
(Added by Fidelisbzm01)