
Tina Tina Lyrics
- Genre:Others
- Year of Release:2024
Lyrics
Tina Tina, umenipagawisha na mapenzi motomoto,
Oh, Tina, my love divine,
A melody of beauty, forever mine,
Macho yako yang'aa kama nyota angani,
Wewe ndiye ninayependa, my heart's true love.
Tina, penzi langu, kila kitu kwangu,
Mikononi mwako, roho yangu inapaa mbinguni,
Tabasamu lako, yanipa hisia tamu sana,
Ukiwa karibu yangu, maisha yanakamilika.
Your laughter, a gentle serenade,
Bringing sunshine on a cloudy day,
Your touch, a soft and tender refrain,
In your embrace, all sorrows wane.
Tina, penzi langu, kila kitu kwangu,
Mikononi mwako, roho yangu inapaa mbinguni,
Tabasamu lako, yanipa hisia tamu sana,
Ukiwa karibu yangu, maisha yanakamilika.
Through ups and downs, we'll stand strong,
Together, we'll weave a love song,
In harmony, our hearts will entwine,
Forever-more, you'll forever be mine.
Yeah yaya ya (Yeah yaya ya)
You'll forever be mine.
Tina, penzi langu, kila kitu kwangu,
Mikononi mwako , roho yangu inapaa mbinguni,
Tabasamu lako, yanipa hisia tamu sana,
Ukiwa karibu yangu, maisha yanakamilika.
So here's my serenade, my love so true,
A song of devotion, meant just for you,
Tina, miele moyoni mwangu utadumu,
With every note, I'll love you more each day.
Tina Tina, umenipagawisha na mapenzi motomoto,
Tina,
Yaay yay yay yay yay yeah
Tina Tina, umenipagawisha na
Tina Tina, umenipagawisha na
Tina Tina, umenipagawisha na
Tina Tina, umenipagawisha na ahhh
Tina Tina, umenipagawisha na