![Freestyle Two](https://source.boomplaymusic.com/group2/M0B/51/93/rBEeqF1zWYWAG-P5AACa5Ni-0nQ696.jpg)
Freestyle Two Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2019
Lyrics
Freestyle Two - Young Lunya
...
hehe....oomy
na ningekua nautaka
uyoung king ningeshamwambia father country anipatie
maan me ufanya vile msivyotaka nyie
na nliongea na simba nkamwambua awakanyagie...[KANYAGA]
bisha wauni wa tandale wakufanyizie
Mistari nateleza ganda la ndizi
nafanya watoto wakike watabasam babilon beezy
sina views kama breezy au dreezy
ila i was born to shine ka mwanang twanga la tizy
tena waambien wana wa mtaan kwako me sipak poda
nikiwa geto ni mitungi huwa sinywagi soda
hzo itikadi zako za kisholi zibaki goba
meshafnya uvuke boda
now get off my fuckin shoulder
for now am the best young rapa
hata ka utaki
young killer pia ni rapa flani noma
kiroho safi..{mmmh}
nashkuru mungu mambo yamekuwa safi... msafi
mpka wapo watakaosema cheni za konde boy ni jeshi
Ng'ata ung'twe lianzishe ufatwe
wenzako haturembi tunasaka mkate
mpaka ubakwe umeme ukatwe
ushikwe upakatwe uliwe na mate
itikadi za ajabu kama hzo sina maneno mengi ya nni kama unaniweza pima
mtu mmoja ila utasema kikosi cha pina
bora univunje mguu kuliko kunivunjia heshima
Ndo maan napita kidon like am boss yee like am boss
Now unisomi sielewek yee like am ghost
nakimbiza huoni...namuuliza moni vipi majengo sokoni...napepesa mboni nafanya wadudu wa njaa wanapita tumboni
nikiwa high wanapita like am fuckin off maringo mengi yani like my name is Casanova
bring bring sina manukato ya fyne mjomba thats for showing now we dating girls like beyonce over
kwanza natoka shkopa. .Skwapi makopa kopa mask off show my face hakuna cha kukiogopa
sina za kuropoka nikikaa na
magenge na moka nyie wagumu endeleeni kufoka nikitoka natoka na moka
monday to sunday ni money day no fun day rule number one is no popo afande mziki wa omg ni threesome ndo mande
we leta uchoko wako ukutane na kipande
ka sindano nawachoma bro yo well known Kimichano nimekwenda age yeah am getting old
mashindano huwa nashinda me huwaga sitoi droo keep ur honey other nigga thing just keep oooh shit
kumbe unaiiga kuchana oooh shit pesa unapewa na mama ooh shit mtoto wa kiume pambana sio unaongopea wasichana shout-out to khali respect the Og...
we awchee ruftop BET bebe.. ..amniwez
kapo...tojo...petyman rasta SMG we own this