![Passenger](https://source.boomplaymusic.com/group10/M00/10/03/9296628dc4834f1192d6f8d16b84235b_464_464.jpg)
Passenger Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2020
Lyrics
Kigori, ushanipiga roba kabali
Silali, penzi nshacheza kamali
Kwengne sina habari
Penzi lako tamu tamu hatari
Sipendi kuona ukinuna we ndo furaha yangu mie (mie mie)
Yani penzi lako tamu tamu hatari
Unavonyumbulika nyumbulika on bed
Yani dosalale, umeniweza kabsa sijiwezi
Umenilevya na body
Sio chakakacha, wacheza kila ngoma
I wanna marry you, marry you (Uuuh)
Ukinitazama jicho la maringo (Eeeh)
Me nachapa fimbo
Ukiinama, ukiinuka fimbo
Sipendi kuona ukinuna we ndo furaha yangu mie (mie mie)
Yani penzi lako tamu tamu hatari
Unavonyumbulika nyumbulika on bed
Yani dosalale, umeniweza kabsa sijiwezi
I'm yo passenger ooh, passenger ooh baby
I'm yo passenger ooh, passenger ooh baby
I'm yo passenger ooh, passenger ooh baby
I'm yo passenger ooh, passenger ooh baby
Unavyosakata unanikuna mama Eh