Bad Boy Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2007
Lyrics
Bad Boy - Amani
...
Verse 1
Njaro zako, tayari nimekanywa
Penzi lako, naambiwa ni balaa
Nami bado, siwezi kukuwacha
Nifanyeje, na roho ishapenda
Bridge
Oh, nakuwaza Oh, nakutaka
No, but my baby You are such a bad boy
Oh, nakuwaza Oh, nakutaka
No, but my baby You are such a bad boy
CHORUS
Najua unaipenda, unaitaka pia
Naeza tell na design unaiangalia
Sio makosa yako
I am falling for the bad boy Najua unaipenda, unaitaka
Naeza tell na design unaiangalia Si makosa yangu
I am falling for the bad boy
Verse 2
Sura yako, nabaki fikirani Busu lako, siwezi kuilenga
Nami bado, siuoni ubaya wako Nifanyeje, na roho ishapenda
Bridge
Oh, nakuwaza Oh, nakutaka
No, but my baby You are such a bad boy
Oh, nakuwaza Oh, nakutaka
No, but my baby You are such a bad boy
CHORUS
Najua unaipenda, unaitaka pia
Naeza tell na design unaiangalia
Sio makosa yako
I am falling for the bad boy
Najua unaipenda, unaitaka
Naeza tell na design unaiangalia
Si makosa yangu
I am falling for the bad boy
Verse 3
First of all ni obvious
Nyashinski juu ya mic
Unajua vocals ni oh so glorious
Na ni popular
Lakini juu ya meza kuna issue moja biggy ka notorious
Dame mzuri amenoki chali ni jangili
Lakini chali haezi kubali juu ya nini
Oh
Akikubali watasema amekuwa soft
Ka sponge
Haiwezekani
So ana-do nini
Anafikiria kwanza
Situation tricky nani
Mtaani nina respect fiti mami
Ukikubali wataniuliza vipi wadhii
Bridge
Oh, nakuwaza Oh, nakutaka
No, but my baby You are such a bad boy
Oh, nakuwaza Oh, nakutaka
No, but my baby You are such a bad boy
CHORUS
Najua unaipenda, unaitaka pia
Naeza tell na design unaiangalia
Sio makosa yako
I am falling for the bad boy
Najua unaipenda, unaitaka
Naeza tell na design unaiangalia
Si makosa yangu
I am falling for the bad boy