![Lele ft. Komanda Flaco & D'Jungle](https://source.boomplaymusic.com/group10/M00/11/09/95d934776e894a09a54e34ccba601192_464_464.jpg)
Lele ft. Komanda Flaco & D'Jungle Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2021
Lyrics
Lele ft. Komanda Flaco & D'Jungle - Virusi Mbaya
...
hio ni kelele ATI hio ni kelele ananishow yeye ni player na ni Lele mi kumkatia ATI hio ni ....ni dame wa mtaani and I find her twisted we ni gwangi see the boy so wasted ×2
alikuja kuwashiwa ikabaki amekatiwa akidai kujitoa ni shaanza kumskizia mdie nitakupatia Leo sita ku kinda ashaniomba namba anadai atanivutia ata sijamkoroga ashanza kurukisa ATI ye ni good kisser but maboy haezi guza mi Niko juu ya hot grabber nishaanza kumgrab ass inabaki Leo ameweka lawama
ananishow ye ni player na ni Lele mi kumkatia ATI hio ni kelele mi namsho mi hudeal na malele na akileta mchezo nitamuwekea Mchele×2ni dame wa mtaani and I find her twisted we ni gwangi see the boy so wasted ×2
ka we huwacheza uaeza ni cheza nao pia unashuku huta wezana hiyo ndio kitu unahofia usiskize ma rumors si mi nili fanyia hivo Sofia mi simind unaweza Kam na madame wako pia threesum na bado nda make sure mume ni vulia kofia hard to get ni old skool kaa inakuwa Wacha ikuwe sai nafeel ka fisherman inafaa tu nimpue ama nimueke Mchele mara moja manze nimchukue
ananishow yeye ni player na ni Lele mi kumkatia ATI hio ni kelele mi namsho mi hudeal na malele na akileta mchezo nitamuwekea mchele×2
....ni dame wa mtaani and I find her twisted we ni gwangi see the boy so wasted ×2