![BYA JANA](https://source.boomplaymusic.com/group10/M00/07/03/4b79e5ec85e447cd8dacf14d08d295bc_464_464.jpg)
BYA JANA Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2022
Lyrics
Bya jana
Iyi ma saa sitaki waza
Na ona saa sitaki kaza
Nyamanza sita ku kwaza
Achana
Sina amani nda ji chana
Angayika soir, mchana
Pepo zina liya njala
Bya jana
Sita sikiya mahongezi ya njala
Sitaki liya ma uzuni ya jana,
Angaliya murefu ya njia
Njo vile hewa una eza ni achiya
Bya bu rafiki njo bya juzi
Atu juwane juu u uzi
Zangu shida zisha ni ikaliya
Zisha vimba zisha ni kaniya
Mwana ume a liyake uhmm ile ni bongo, na aya kemba
Una taka kile kyake apana kale kako uta iba
We ka nyoka, una butshimbi alafu
Hata vile ahuna soko, uko tu saa niamafu
Bya jana
Iyi ma saa sitaki waza
Na ona saa sitaki kaza
Nyamanza sita ku kwaza
Achana
Sina amani nda ji chana
Angayika soir, mchana
Pepo zina liya njala
Bya jana
Mu iyi match arbitre alisha lewa, ku lipishana ni mpaka umu
Saa ya ku lala uko na loga, saa ya ku omba uteme sumu
Saa ya ku chapa kazi una lala, saa ya ku kula u lete tumbu
Saa ya ku tenda ni ku sema sema, saa ya ku kufa uta tubu
Contradictoire comme mes sentiments
Limite nécrophile mais bon vivant
J'entends je t'aime, pourquoi je sens que tu mens
Y a quelque part où t'as gaffé
Tu te sens sale, nawa lar u takate
Tu te sens seul achète les, t'as capté
Trop de sucre fait des amis gâtés
C'est jamais quand ca démange qu'ils viennent gratter
Bya jana
Iyi ma saa sitaki waza
Na ona saa sitaki kaza
Nyamanza sita ku kwaza
Achana
Sina amani nda ji chana
Angayika soir, mchana
Pepo zina liya njala
Bya jana