Mbele ya Mwenyezi Lyrics
- Genre:Latin music
- Year of Release:2022
Lyrics
Mu nionee tu uyu ananitakaako mihali
Nili ku fanya nini, si uniache angu na amani
We unapenda tu mutu wa batu akuuwe na ma ngumi
Baati yako tu niko mu Christu
Sino saiyi ungekuwa mbele ya Mwenyezi
Mbele ya Mwenyezi
Mbele ya Mwenyezi eh
Mbele ya Mwenyezi
We unapenda tu mutu wa batu akuuwe na ma ngumi
Baati yako tu niko mu Christu
Sino saiyi ungekuwa mbele
Banamuke ya iyi masiku
Bashile
Bakikuona tu uko tranquille
Bataanza vita na maneno
Bata ku chamba ovio
Buchokozi tu
L'unico modo per uscirne pulito è andartene
Ti metterà le mani addosso ti farà sentire inutile
Perché sa bene che se lo dici a qualcuno nessuno ti crederà
Perché sei un uomo, sei forte e grosso
Mbele niende mu prison acha ni tembeze mikate
Mu nionee tu uyu ananitakaako mihali
Nili ku fanya nini, si uniache angu na amani
We unapenda tu mutu wa batu akuuwe na ma ngumi
Baati yako tu niko mu Christu
Sino saiyi ungekuwa mbele ya Mwenyezi
Mbele ya Mwenyezi
Mbele ya Mwenyezi eh
Mbele ya Mwenyezi
We unapenda tu mutu wa batu akuuwe na ma ngumi
Baati yako tu niko mu Christu
Sino saiyi ungekuwa mbele
Akuwe muzungu ao mweusi
Biko bote vile
Bata gérer ile bazimu yabo
Mpaka mbele ya ndoa
Mungu aku saidie usipoteze kazi
Juu atakuzarau
Si jue kama ni bulozi
Si jue kama ni bulozi
La legge non tutela
Se ti sposi ti metti in galera
Perdona il mio cinismo ma io la salute non la rischio
Si pendi mwanamuke ani zibule
Juu nd mu kunguta
Si pendi mwanamuke anizibule
Juu miye ndauwa
Mu nionee tu uyu ananitakaako mihali
Nili ku fanya nini, si uniache angu na amani
We unapenda tu mutu wa batu akuuwe na ma ngumi
Baati yako tu niko mu Christu
Sino saiyi ungekuwa mbele ya Mwenyezi
Mbele ya Mwenyezi
Mbele ya Mwenyezi eh
Mbele ya Mwenyezi
We unapenda tu mutu wa batu akuuwe na ma ngumi
Baati yako tu niko mu Christu
Sino saiyi ungekuwa mbele