![Angel ft. Lost Poet 254, Spiky, Chesko & Savoh](https://source.boomplaymusic.com/group10/M00/10/27/e147862aba1547369cbc2ce958dc1edf.png)
Angel ft. Lost Poet 254, Spiky, Chesko & Savoh Lyrics
- Genre:Spoken Word
- Year of Release:2021
Lyrics
Angel ft. Lost Poet 254, Spiky, Chesko & Savoh - WIZARD CLAN 254
...
Into:Uuuuuuuuh Angel...Angel We are the Weee Wizard
Verse One:(Lost Poet 254)
So nadai kukufanyia
Hii dedication mtoto
Wa watu juu sijui ka
Mimi mtoto wa mtu
Naeza dedi kesho nani
Hajui nakupenda nimwambie
Nani hajui mimi ni nani
nimwambie nimefanya
dhambi mingi nani lakini
Kukupata nilikupata vi funny
Ile day ile day tulipatana kwa
Kina nani ukicheka cheka
Najiona m_funny sikuacha kukubongesha
Hadi magizani sahii huniiti nani
Ukajua vile niko na Imani sahii unaeza itamani ka asali sahii hii ndo naeza
Sema kwa sahii
Chorus:
Uuuuuuh hug me tight
and kiss me slow your love
Is all I want and you know it
Romeo stay with me forever
(I WILL)
I promise to stick here forever
Whenever we go
You got my heart
And i got yours so i know
(WHAT BEB)
all is well
Stay close to me
And never let go
I have met my angeeeel
Verse Two(Chesko)
As long us tuko pamoja
Life yangu itaishi in jubilation
You are a queen bee na vile niko
Ithaaa honey sitachoka kupea nyuki
Escort
Kukupenda ni ufala sawa basi nimekubali kuitwa stupid chesko
In my heart ushajaaza mapengo najua hii itauma wengi
Vile nimekuchizia hata mathare hawawezani this is super crazy
Everything about you imeenda shule your beauty is classy
I can’t picture a better family
Than watoi wangu ni wewe wataita mummy
I realise am just mortal yaani
cause nlikukufia first time kukucheki darling
Everything coming from your lips hunijenga, you are an engineer kwa romance
You wanted a piece of mind am ready to give you even my whole world
Diamonds achia Tanasha dona
I want to be reason behind that golden smile
Sihitaji magari na pesa all i ever need is just you to have that perfect life
Chorus:
Uuuuuuh hug me tight
and kiss me slow your love
Is all I want and you know it
Romeo stay with me forever
(I WILL)
I promise to stick here forever
Whenever we go
You got my heart
And i got yours so i know
(WHAT BEB)
all is well
Stay close to me
And never let go
I have met my angeeeel
Verse Three (Savoh)
Wakikuita benjo me nakuita my angel
The beautiful one not yet born lakini we ni example
Kiss you, touch you c**m , skin of a girlfriend material
Na nikona zako mafilo
I'm real achana nakina Kirio
Naikiwa busy we ni signal
Siezi kukuignore, i wanna hold your hips
I wanna water your lips
Unique features i guess chuo ulifanya geo
I'm weak without you umepanda cheo
Na admit leo
Your windsome curved boobs
Pointing zikiwa adi ndani ya hood
Yetu imeshinda ya Romeo na Juliet
Na kukuacha you go ni something i'll never let
You owe my heart sijakurent
Tuwork as a pair we kanyoi me gillette
My boo you are heavenly sent
Kwangu ni yes i do
But only if ni you
Till my last breathe what about you aaah
Outro:
I wanna show you my world
And take it easy baby don't
Go world don't act weird
Coz it is wise you can feel wild life in there
As i still find world life for you
My Angeeeel.