Shuka Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2020
Lyrics
Shuka - Miriam Naliaka
...
SHUKA BY MIRRIAM
mungu mwenye huruma_shuka,
mwenye baraka_shuka,
mwenye upendo_,
shuka tukuone
mungu mwenye huruma_shuka,
mwenye baraka_shuka,
mungu wa upendo_shuka tukuone
Taifa lako inakugojea baba, , shuka tukuone,
Tumejaribu kama binadamu tumeshindwa yesu_shuka tukuone
Kuna watu wanaumia magojwa, wanateseka sana, wanataka wakoune yesu,
Akili zetu zimefika mwisho baba, tunataka tukuone yesu.
Mungu mwenye huruma_shuka,
mwenye baraka_shuka,
mwenye upendo_shuka tukuone,
mungu mwenye huruma_shuka,
mwenye baraka_shuka,
mwenye wa upendo_shuka tukuone
Maisha yetu wanadamu yamefika mwisho , tunataka tukuone yesu,
Jinsi ulimshindia joshua, ukasimamisha njua, aka shinda vita,
Ulifunga vinywaa vya simba, danieli akatoka salama, shuka kwangu pia,
jinsi ulivyo watendea ewe baba_shuka kwangu pia,
mungu mwenye huruma_shuka,
mwenye baraka,_shuka,
mwenye upendo_shuka tukuone,
mungu mwenye huruma_shuka,
mwenye baraka_shuka,
mungu was upendo_shuka tukuone,.