
The one Lyrics
- Genre:Others
- Year of Release:2024
Lyrics
The one - Depai
...
The one
Girl believe !!ohhhh Depai music
1.the day I find you, sija why Ku iona siku kama na hii, nilitishwa Sana hapo nika jituma yani
Kuanza my New life, kwanza nawe my love,
Na kwa hiyo tu jambo, nika badili Mpango zote zazamani, nakuona huko mbali ntaishi naamani, zikitimizwa mipango
sita jali tengo,, !!
!Maana nili jituma Sana,,Mpaka siku jali tena urembo wawana
You was so fine and so beautiful !!! I Never leave you my baby girl !! uhuihhhh
Pr:kushtuka ulinishtuwa,!! kuuguwa ninge uguwa, please usi djali we nahisi nili kusumbuwa
!! Kosa nta jikosowa, Kweli nili ku chaguwa, girl I will marry you uhuhuhih) *2
Ref :
My dear hhhhhhh, you let me me smile
I can be iiiiiih, all of you need) iii
My dear hhhhhhh, you make me me smile
I can be iiiiiih, all ma dreams) iii
IYELE MAMA)*2
2.nisha kubali, kwa kila vizwizi ntaona mbali,
Mama usidjali, vizuri vibaya subiri hali, ndo life, you're the queen of my life
Hohoho yeee
Uko mmoja ninaye mpenda usi waskize wao,
Nishaku chaguwa Mpaka tena sioni wao
Girl nipe nafasi,,, usiwe na wasi, (usiwena ohohoh )
Pr: kushtuka ulinishtuwa, kuuguwa ninge uguwa, please usi djali we, nahisi nili kusumbuwa
Kosa nta jikosowa, Kweli nili ku chaguwa, girl I will marry you uhuhuhih) *2
Ref :
My dear hhhhhhh, you let me me smile yeiye
I can be iiiiiih, all of you need) iiii
My dear hhhhhhh, you make me me smile
I can be iiiiiih, all ma dreams
IYELE MAMA)4
Pr: kushtuka ulinishtuwa, kuuguwa ninge uguwa, please usi djali we, nahisi nili kusumbuwa
Kosa nta jikosowa, Kweli nili ku chaguwa, girl I will marry you uhuhuhih)