
Dondoka Lyrics
- Genre:Others
- Year of Release:2024
Lyrics
Layonn eh
The Kenyan Boy
Ololoo Eh olololo
Eleleh ah elelele
Akiokota kila kitu ina dondoda
Hata kama umesota
Lazima uta komoka
Unavaniokata mwenzako na homa unanitimbu
Namaswali unanipa mwenyewe unanijibu
Nazi unavio kuna
Kiuno uki sukuma
Iki washa unanikuna
Mi kwako maneno sina
Ooh cheza mama
Tobina mama tobina mama
Ooh cheza mama
Tobina mama tobina mama
Ololoo Eh olololo
Eleleh ah elelele
Akiokota kila kitu ina dondoda
Hata kama umesota
Lazima uta komoka
We tonton Layonn
On m'appelle aussi the Kenyan Boy
De mombasa ou de Lausanne.
Nabeli mama
Kitisanga moto
Naleli mama
Tokisanga ndoto
Aza ndoto
Aza noto ya kitoko
Aza ndoto
Aza ndoto na leti yo
Ololoo Eh olololo
Eleleh ah elelele
Akiokota kila kitu ina dondoda
Hata kama umesota
Lazima uta komoka
Kachiri kachiri
Kachiri saga kachiri
Kamuili kamuili
Kamuili kake kamili
Kachiri kachiri
Kachiri kachiri kachiri
Kamuili kamuili
Kamuili Kamuili kamuili
Ololoo Eh olololo
Eleleh ah elelele
Akiokota kila kitu ina dondoda
Hata kama umesota
Lazima uta komoka
Ooh cheza mama
Tobina mama tobina mama
Ooh cheza mama
Tobina mama tobina mama
Ololoo Eh olololo
Eleleh ah elelele
Akiokota kila kitu ina dondoda
Hata kama umesota
lazima uta komoka