Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2021

Lyrics

Mapema Mno - Ghafla

...

Ghafla

Mapema mno Lyrics

Chorus

Tumezaliwa kwenye dhiki anajua mola tuliyoyapitia ni magumu usiombe

Tumejikita kwenye mziki tuikwepe njaa maana tumbo kavu linauma usiombe

Tumezungukwa na rafiki ndo wanaochoma tunacheka nao ila wanaomba tusitoke

Napiga hatua na kila hatua naubeba mtaa mi na washindi tutatoka tusichoke

Verse 1

Mapema kusema ni ngumu kutoka ku-shine ni ngumu ku-win

Huenda tunakwama ila niamini hatufeli haturudi chini

Huenda mnapima mafanikio yetu mpaka tuvae madini

Kama hamjui tumepoa mtaani tunafosi tunahesabu ushindi

Cash zina flow kwa account

Hesabu inaanzia shilingi

Kabla hatuja hesabu laki kibubu kiliwekewa ishirini

Kitu sitoi ni wakati siku hizi na shine una feel

Huwezi amini ni classic navaa mtaa naishi

Tuache story ilikuwa ni kwenye msoto na

Tulipotoka ilikuwa ni block za udongo na

Ukisema studio itabidi nyumbani walale njaa

Hatujielezi si mnajua rangi halisi ya mkaa

So i pray,before the fame

Lets get paid,lets nigga shine

Kabla sijafa sijaumbika siwezi kufuru Jah

Siwezi kukukosoa najivunia kuwa sehemu ya mtaa


Chorus

Tumezaliwa kwenye dhiki anajua mola tuliyoyapitia ni magumu usiombe

Tumejikita kwenye mziki tuikwepe njaa maana tumbo kavu linauma usiombe

Tumezungukwa na rafiki ndo wanaochoma tunacheka nao ila wanaomba tusitoke

Napiga hatua na kila hatua naubeba mtaa mi na washindi tutatoka tusichoke

Verse 2

Hawakutupenda tukiwa hai tukiondoka mtaona

Risala ndefu watatumiss na hawakuwahi mbona

Hawakutu support tukiwa chini tukitoboa mtaona

Watajifanya wanatujua ili waambulie followers

Tuwaongezee viewers

Sio upendo ni biashara ni budda

Ni ishu ya muda

Ni change location ni park buggati

Tukiwa club leta bill nitamaliza

Baada ya show andaa pipa andaa Visa

Hatuna mauzo sitaki video sitaki picha

Na ukija ghetto mtoto mkali ni Monalisa

tuliishi raha mustarehe tulizidisha kukomaa

Tuliamka alfajiri hatukupitisha kuomba

Hatukuchoka kushukuru ametubariki unaona

Tulipotoka hakuna upendo wanakunywa uji wa mgonjwa

Jazia maji ilikuwa kauli leo kumaliza sidhani

Ninachopata sili peke yangu naenda lia mtaani

chorus.

Mapema mno Lyrics

Chorus

Tumezaliwa kwenye dhiki anajua mola tuliyoyapitia ni magumu usiombe

Tumejikita kwenye mziki tuikwepe njaa maana tumbo kavu linauma usiombe

Tumezungukwa na rafiki ndo wanaochoma tunacheka nao ila wanaomba tusitoke

Napiga hatua na kila hatua naubeba mtaa mi na washindi tutatoka tusichoke

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234
          -You can log in via below methods-
          Reset password via e-mail
          -or-
          Reset password via e-mail
          If you have any questions, please feedback on Boomplay App or send an email to [email protected].

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status