![Ona ft. Rich Mavoko](https://source.boomplaymusic.com/group2/M01/0F/35/rBEeM1r64dSAWNChAAClBzck8M8056.jpg)
Ona ft. Rich Mavoko Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2018
Lyrics
Ona ft. Rich Mavoko - Lulu Diva
...
Verse one { Lulu diva}:
Moyo sii ungebaki nao, nifanye kivuli/
luksa tuu nichote nyao,unifunge nitulie tuli/
mwafulani anauliza umenipa nini/
kwa udi na ubani nimekulia yamini/
wanao nitamani wapo ila sijaona/
nimekupenda pekeyako maana mapenzi nimekoma/
kama kipofu mii sioni
uchungu wamapenzi unakaba koo/
usitukane mamba mtoni
umenipa yote minaomba poo/
Chorus:
ONA SASA ONA !!{x8}
Verse two {Rich mavoko}:
I swear believe me girl
umenikata kichwa nimebaki kiwiliwili /
niongee ulicho nipa
kita kwa mshipa utibuwe makili kili/
mpaka juu huwa na ning'inia/
ukirudi chini na didimia/
usinipe penzi makili kia/
mikwako nimesha oza nishajifia/
nimekuwa mrevi wa penzi lako ongeza nilewe/
mwambie mganga wako kaniweza kwahe/
sioni maneno yawatu kwangu kama choo/
mtoto kama chumvi jikoni/
nilipo kuonja nikaomba pooo
Chorus:
ONA SASA ONA !!{x8}
Hook up { Lulu diva}:
asa babe simamia [kidede]
tena ngangania[kidede]
nipe vyito nabugia[kidede]
huku naugulia[kidede]
Hook up {Rich mavoko};
nipe hata kimoja [kidede]
nisamimie ukucha [kidede]
mtamu kama embe za kibada [kidede]
mbuzi kafa kwa bucha[kidede]